• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Amshukuru Rais Rais Samia Kurasimisha Bandari ya Mbweni

Posted on: September 2nd, 2022

- Asema uamuzi huo umewasaidia wafanyabiashara kufanya Biashara Kwa uhakika

- Zaidi ya 95% ya mafuta  Ya kula hupita bandari ya mbweni.

- Aiagiza Mamlaka ya Bandari TPA Na TARURA kuandaa michoro, gharama Za barabara Na miundombinu ya bandari

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameelekeza Mamlaka ya Bandari kufanya Maboresho ya Miundombinu ya Bandari ndogo ya Mbweni Baada ya Rais Samia kurasimisha rasmi Bandari hiyo.RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa ziara kwenye Bandari hiyo ambapo amewataka TPA Na TARURA kuandaa michoro, gharama Za barabara Na miundombinu ya bandari hiyo ili biashara zifanyike pasipo usumbufu.

Aidha RC Makalla amemshukuru na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kurasimisha Bandari hiyo Baada ya muda mrefu kutumika Kama Bandari bubu na kusababisha Serikali kukosa Mapato.

Hata hivyo RC Makalla amesema Asilimia 95 ya Mafuta ya kula yanapita Katika bandari hiyo hivyo ni lazima maboresho yafanyike ambapo ametoa wiki moja kwa Mamlaka ya Bandari kuweka kibao Cha kuonyesha Bandari hiyo.

Katika ziara hiyo RC Makalla amepokea changamoto mbalimbali kutoka kwa Wafanyabiashara wanaotumia Bandari hiyo na kuahidi kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wafanyabiashara wanaotumia Bandari hiyo kutokumuangusha Rais Samia kwa kuhakikisha wanalipa mapato na kufuata sheria, kanuni na taratibu.

Ikumbukwe kuwa Bandari ndogo ya Mbweni imerasimishwa rasmi tarehe 06/ 05/2022 na Rais Samia Suluhu Hassan na Sasa inatoa huduma Kwa mujibu wa sheria

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa