• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Amshukuru Rais Dkt Samia Kuidhinisha Fedha za Ujenzi wa Barabara ya Mwendokasi Gongolamboto

Posted on: February 22nd, 2023

 

- Zaidi ya shilingi bilioni 231 zimetolewa kujenga Barabara ya Km 23 kutoka katikati ya mji kuelekea Gongolamboto.

- Amuelekeza Mkandarasi kuhakikisha mwezi March mwakani mradi unakamilika.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam CPA. Amos Makalla ametembelea Mradi wa ujenzi wa Barabara ya mwendokasi BRT Awamu ya tatu kutoka katikati ya mji kuelekea Gongolamboto na kumtaka Mkandarasi wa kampuni ya Sinohydro kuhakikisha kazi inakamilika ifikapo Mwezi March mwakani.

RC Makalla amesema mradi huo unagharimu shilingi bilioni 231 ikihusisha ujenzi wa Km 23, Vituo 32, Karakana moja, Vituo vikubwa vinne na Daraja kubwa moja.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo RC Makalla amesema kukamilika kwa mradi itasaidia kurahisisha shughuli za usafiri kwa Wananchi ambapo amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuifungua Dar es salaam.

Katika ziara hiyo RC Makalla amewaelekeza TANROAD kufanya maamuzi haraka ya wapi ijengwe karakana kutokana na eneo walilopanga kujenga kuwa na mkataba na mwekezaji atakaejenga kiwanda Cha Vioo kitakachotoa Ajira kwa zaidi ya vijana 6,000 hivyo amewataka kutafuta eneo lingine watakalolipa watu fidia.

Mradi wa ujenzi wa Barabara ya mwendokasi kuanzia Awamu ya kwanza mpaka Awamu ya Sita itahusisha zaidi ya Km 150 ambapo mpaka Sasa Awamu ya kwanza umekamilika, Awamu ya pili Mbagala inategemewa kukabidhiwa Mwezi March mwaka huu na Sasa Awamu ya tatu kuelekea Gongolamboto Ujenzi wake umeanza mwezi January mwaka huu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa