• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Akutana na Wafanyabiashara Cocobeach

Posted on: December 30th, 2022

-Awataka kuzingatia mila na desturi za kitanzania wanapofanya shughuli zao

-Mkurugenzi Mtendaji Wavuvi Camp aomba radhi kufuatia clip iliyosambaa ambayo ni kinyume na maadili ya Kitanzania

- Aagiza waliojenga majengo ya kudumu COCOBEACH kubomolewa

-Apongeza Usalama ulioko, awahakikishia wananchi Ulinzi na Usalama katika Sikuu za mwaka mpya 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo ametembelea na kukutana na wafanyabishara wanaofanya biashara katika fukwe za Cocobeach, Kinondoni Dar es Salaam.

RC Makalla amesema amekuja kujionea shughuli za kibiashara zinazoendelea kufanyika katika fukwe hizo na kusisitiza Coco beach ni ya Umma na itaendelea kuwa hivyo wananchi wa maeneo mbalimbali ya Mkoa huu wawe huru kutumia fukwe hii.

Aidha RC Makalla amekemea kitendo kilichofanywa na Wavuvi Camp kurekodi clip ya utupu ambayo imekua ikisambaa katika mitandao ya kijamii kinyume na maadili ya Kitanzania ambapo ametoa onyo kali na kuwataka kuwaomba msamaa watanzania.

RC Makalla ameelekeza wafanyabishara wote katika Mkoa huo kufanya biashara kwa kuzingatia mila na desturi za kitanzania.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji Wavuvi Camp Bwana Carlos Bastos ameomba radhi hadharani kwa wakazi wa DSM na Watanzania wote kuwa kilichotokea sio kusudio lao na hakitatokea tena watafanya Kazi zao kwa kuzingatia utu, maadili, mila na desturi za kitanzania

Vilevile Mhe Makalla amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Godwin Godwe pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoa maelekezo kwa wanaojenga majengo ya kudumu katika fukwe, ikiwemo kubomoa jengo ya kudumu lilojengwa katika fukwe hiyo

Pia amepongeza Usalama ulioko katika fukwe hiyo na amewahakikishia Wana DSM Ulinzi na Usalama katika Sherehe za Mwaka mpya 2023

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa