• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Akubali Ombi la Kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa Nchini Rwanda

Posted on: February 14th, 2023

 

-Asema mafunzo kwa viongozi kitaifa ni muhimu

-Akubali Mkutano wa Machinga Taifa Kufanyika DSM

-Uongozi wa Machinga Taifa wampongeza RC Makalla kwa ushirikiano na machinga DSM, na kuwapeleka ziara ya mafunzo Viongozi wa Machinga na Bodaboda nchini Rwanda

- Wasema Mkoa wa Dar es Salaam ni tulivu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla leo Februari 14, 2023 amekubali ombi la kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa nchini Rwanda ziara ya mafunzo, kufuatia Viongozi hao wa kitaifa kuwasilisha ombi hilo wakati alipokutana nao walipokuja kumshukuru na kumpongeza kwa ushirikiano wake na Machinga wa DSM katika Ukumbi wa DMDP Ilala Jijini Dar es Salaam

CPA Makalla amesema ziara za mafunzo kwa viongozi wa Kitaifa ni muhimu kwa sababu Viongozi hao wakiwa na maarifa na uelewa itasaidi kuchagiza mipango mbalimbali katika Mikoa ikiwemo ya usafi na kuwapanga vizuri wamachinga hususani DSM

Aidha CPA Makalla amekubali ombi la Mkutano wa Machinga Taifa Kufanyika DSM ombi  ambalo pia liliwasilishwa kwake huku akisema Mkoa wa DSM ndio wenye machinga wengi hivyo hana pingamizi lolote juu ya Mkutano huo.

Vilevile Viongozi wa Machinga Taifa wamemshukuru CPA Makalla kwa ushirikiano wake na Machinga wa DSM kuwa nao karibu, dhamira yake ya kubadili maisha ya makundi hayo pia wamempongeza kwa kuwapeleka ziara ya mafunzo Viongozi wa Machinga na Bodaboda nchini Rwanda.

Sambamba na hilo Viongozi hao wamevutiwa na Mkoa wa DSM ulivyo tulivu wakitoa rai Mikoa mingine ya Tanzania kujifunza Dar es Salaam chini ya Uongozi wa Comred CPA Amos Makalla " wamesema Mkoa wa DSM sasa ni tulivu ndio maana wameleta ombi la kufanya Mkutano wa Machinga Taifa DSM"

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa