• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Akagua Miradi 3 Manispaa ya Kinondoni

Posted on: October 29th, 2021

- Akagua Jengo la Utawala Kinondoni, Ujenzi wa Kituo cha Daladala na Uwanja wa Mpira Mwenge

- Asema Miradi hiyo ilisimamishwa na Waziri wa TAMISEMI amekuja kuiona na kujiridhisha

- Asema Miradi hiyo ni muhimu licha ya kuwa na Changamoto ndogo ndogo siku za usoni atatoa tamko la kuendelea kwa maandishi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Oktoba 29, 2021 amekagua miradi 3 ya maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Jengo la Utawala Manispaa ya Kinondoni, Ujenzi wa Uwanja wa Mpira na Kituo cha Daladala Mwenge - Kinondoni, Dar es Salaam.

Mhe Makalla akiwa katika Jengo la Utawala Manispaa ya Kinondoni amesema lengo la ziara yake ni kukagua miradi hiyo na kujiridhisha na baadaye atatoa tamko kwa maandishi ili miradi hiyo iweze kuendelea huku akibainisha tamko lake litaelekeza kuziondoa Changamoto ambazo zilikuwepo zilizopelekea kusimama kwa miradi hiyo.

Mkuu wa Mkoa amebainisha Miradi hiyo ilisimamishwa na Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu baada ya kuonekana ina Changamoto, akatoa maelekezo ya kuchunguza dosari hizo kupitia tume ambayo iliundwa chini ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, uchunguzi umeshafanyika siku si nyingi atatoa Tamko kwa maandishi la kuendelea kwa miradi hiyo

Aidha Mhe Makalla akiwa Mwenge kituo cha Daladala na Uwanja wa Mpira amesema miradi hiyo ni muhimu ikikamilika itaongeza mapato ni vema ukamilishwaji wake uwe na mtazamo wa Kibiashara kwa mfano uwanja wa mpira uwe na eneo la  "parking" pia taa za umeme ili uweze kutumika usiku na mchana.

Amesisitiza anatarajia kuona miradi hiyo inakamililishwa kwa kuzingatia ubora na thamani ya pesa "Value for Money"

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Godwin Gondwe amesema amepokea maelekezo ya Mkuu wa Mkoa tayari kwa Utekelezaji kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa