• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AFUNGUA SEMINA YA USAMBAZAJI NA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 DSM

Posted on: March 24th, 2023

 

-Ampongeza Rais Dkt Samia kwa kuwezesha Sensa Kufanyika kitaalam, Kisasa, na kuratibiwa vizuri

- Asema huwezi kuwa na mipango ya maendeleo bila kuwa na takwimu sahihi

-Abainisha hata watafiti, wachumi, hutegemea takwimu sahihi, na sasa Taifa lina takwimu sahihi kupitia sensa ya mwaka 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla leo Machi 24, 2023 amefungua semina ya Usambazaji na Uhamasishaji wa matumizi ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kwa Madiwani, Watendaji wa Kata, Mitaa na Wenyeviti wa Mitaa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Semina ambayo imefanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee.

Akifungua Semina hiyo CPA Amos Makalla amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweka historia ya kuwezesha Sensa Kufanyika kitaalam Kisasa na kuratibiwa vizuri nchi nzima kaanzia maandalizi, wakati wa Kuhesabu hadi kutoa matokeo ya Sensa

Aidha CPA Makalla amesema huwezi kupanga mipango ya maendeleo katika nyanja yoyote ile bila kuwa na takwimu sahihi, Tafiti zozote zinazofanyika zinahitaji takwimu sahihi hata kujua pato la mtu mmoja mmoja nchini lazima uwe na takwimu sahihi.

CPA Makalla ameipongeza Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa kusimamia vema zoezi la Sensa ya Watu na Makazi na kuandaa Semina ya Usambazaji na Uhamasishaji wa matumizi ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Viongozi hao ambao wapo karibu na Wananchi katika ngazi ya chini kabisa kwenye mitaa

Mwisho CPA Makalla ametumia fursa hiyo adhimu kuutangazia Umma kuhusu Ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe Kamala Harris Machi 29, 2023 Tanzania na atafanya Ziara Jijini Dar es Salaam


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa