• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila"Jotokezeni kwa Wingi Kupiga Kura Oktoba 29,2025, Dar ni Salama Sana"

Posted on: October 27th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wananchi wakazi wa Mkoa huo kupuuza taarifa za uzushi zinazotolewa na baadhi ya watu kupitia mitandao ya kijamii kuwa uchaguzi utakua na vurugu badala yake wajitokeze kwa wingi kupiga kura kwani Mkoa huo uko Salama sana wakati wote kabla ya uchaguzi,wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi

Akizungumza Jijini Dar es Salaam katika mkutano na waandishi wa habari RC Chalamila amesema Mkoa huo una wapiga kura zaidi milioni nne na kwamba tayari  tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeshakamilisha miundombinu kwa ajili ya wananchi  kupigia kura ndani ya Mkoa huo hivyo amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura bila kuhofia usalama wao kwani vyombo vya ulinzi vimejipanga vizuri kuimarisha amani

Aidha RC Chalamila amevionya vikundi vinavyotishia kuvuruga wakati wa uchaguzi kupitia mitandao ya kijamii na kubainisha kuwa vyombo vya dola viko macho kuchukua hatua dhidi ya mtu anayebainika kufanya au kutaka kuleta vurugu na amewataka wananchi kutoa taarifa kwa vyombo vya dola endapo kuna viashiria vya vurugu

Ameongeza kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha kila mwananchi anapata nafasi ya kutumia haki yake ya kikatiba ya kupiga kura bila hofu wala vurugu kwakua Serikali inatambua kuwa suala hilo ni haki ya kikatiba

Pamoja na mambo mengine Chalamila amevitaka vyombo vya habari kufanya kazi kwa weledi bila kufanya upotoshaji kwani vyombo vya habari ni muhimuli muhimu ambao ni kiunganishi kati ya wananchi na Serikali yao ambapo ametumia pia nafasi hiyo kuwataka viongozi kuanzia ngazi ya mitaa kulinda miundombinu ya Serikali ikiwemo ya umeme na barabara za mwendokasi ambapo amisisitiza barabara hizo kutotumiwa na vyombo vingine vya usafiri


Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila"Jotokezeni kwa Wingi Kupiga Kura Oktoba 29,2025, Dar ni Salama Sana"

    October 27, 2025
  • Dkt Samia Suluhu Hassan Kufanya Mikutano ya Kampeni Siku 3 Kuanzia Oktoba 21,2025

    October 20, 2025
  • RC Chalamila Arudisha Tabasamu kwa Mjane Bi Alice Haule.

    October 20, 2025
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akutana na Makundi Maalum - DSM

    October 17, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa