• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila kila Mtu Alipe Kodi Kutokana na Kipato Chake

Posted on: February 8th, 2025

-Amshukuru Rais Dkt Samia kwa namna anavyoendelea kuimarisha TRA

-Asema Kodi inayolipwa inaonekana hususani DSM miradi mingi ya maendeleo inatekelezwa kwa mfano mradi wa ujenzi wa barabara za mwendokasi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam    Mhe Albert Chalamila wakati wa hafla ya ugawaji tuzo kwa walipa kodi wa Mkoa huo iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika ukumbi wa Mlimani City.

RC Chalamila ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo amesema kodi ni jambo la msingi na lazima hivyo ni vema jamii ikatambua umuhimu wa kila mmoja kulipa kodi kulingana na kipato chake ambapo ameitaka TRA kuendelea kutoa elimu ya kodi kwa umma ili kodi ikusanywe bila manung'uniko watu walipe kwa hiari.

Aidha RC Chalamila amemshukuru Rais Dk Samia kwa kuendelea kuimarisha Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kuwa sasa kodi imekuwa ikikusanywa bila manung'uniko lakini pia pesa nyingi zimeendelea kutolewa na Mhe Rais Dkt Samia miradi mingi inatekelezwa katika Mkoa wa Dar es Salaam "Kodi inayolipwa inaonekana" Alisema RC Chalamila

Vilevile amewataka watanzania kudai risiti wanapofanya manunuzi, kujiepusha na vitendo vya ukwepaji kodi, wafanya biashara walipe kodi kwa hiari bila shuruti.

Kwa upande wa Kamishna Mkuu wa TRA Bwana Yusufu Mwenda amesema DSM inachangia kwa kiasi kikubwa pato la Taifa hivyo amesema TRA itaendelea na mapambano ya biashara za magendo, kuendeleza utulivu wa kibiashara katika Mkoa pia kuwekeza kwa watumishi TRA vilevile kuweka mazingira rafiki kwa mlipa kodi

Mwisho RC Chalamila aligawa tuzo kwa washindi mbalimbali ambao wamekidhi vigezo vya kuwa walipa Kodi bora

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa