• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila: Halmashauri Zijikite Kuzuia Hoja za CAG na Sio Kujibu Hoja

Posted on: June 22nd, 2023

- Azitaka Halmashauri za Manispaa kutumia vizuri Kitengo cha Mkaguzi wa ndani na Kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila kwa nyakati tofauti akiwa katika kikao cha Baraza maalum la kupitia hoja za mdhibiti na mkaguzi wa Hesabu za Serikali* (CAG) katika Manispaa ya Ubungo na Kinondoni amezitaka Halmashauri hizo kuwa na mikakati ya kuzuia hoja za CAG na sio kujibu hoja hizo.

RC Chalamila amezipongeza Manispaa hizo kwa kupata hati safi katika Kipindi cha mwaka wa fedha 2021/2022 kufuatia ripoti ya CAG ambapo licha ya kuwa na hati safi bado kuna maeneo CAG amebainisha mapungufu (hoja) ziko hoja amabazo zimeshafungwa na zingine ziko katika hatua za Utekelezaji.

Aidha kwa muktadha huo RC Chalamila ameelekeza juhudi kubwa iwekwe katika kuzuia hoja zisitokee na sio kujipanga kujibu, hivyo amewataka kuhakikisha zoezi la ukaguzi linakuwa endelevu, vilevile kila Halmashauri ijengee uwezo kitengo cha mkaguzi wa ndani na kukitumia vizuri Kitengo hicho.

Hata hivyo RC Chalamila amewataka kujibu kwa wakati hoja za CAG, Utekelezaji wa maagizo ya LAAC, kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wanaoisababishia Halmashauri hoja na kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa fedha za umma

Sambamba na hilo Barabaza la Madiwani lisimamie mienendo ya ovyo katika Halmashauri na kumsaidia Mkurugenzi katika Utekelezaji wa majukumu yake kwa masilahi mapana ya Umma.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa