• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Dar ni Salama Aeleza Mafaniko na Mipango ya Maendeleo ya Mkoa

Posted on: April 18th, 2025

 

-Afafanua maboresho makubwa ya miundombinu ya barabara na miradi ya kimkakati
-Awataka wananchi kuendelea kuhamasishana umuhimu wa kulipa kodi
-Awatoa hofu wananchi kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 asema Serikali iko imara sana.
-Atoa salamu za heri ya Pasaka, asema DSM ni Salaam sana

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 18,2025 amefanya mkutano na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Hotel ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam katika mkutano huo amefafanua mambo mbalimbali ikiwemo usalama wa Mkoa, jumbe zinazozagaa juu ya mafuriko na hatua zinazochukuliwa na Serikali, Kasi ya ulipaji kodi, maboresho ya miundombinu ya barabara pamoja na nafasi ya mkoa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.RC Chalamila amesema katika kuboresha miundombinu Serikali mkoani Dar ee salaam imeanza ujenzi wa daraja la jangwani mkandarasi ameanza ujenzi wa karakana ya kuhifadhia hivyo mkandarasi yupo kazini ambapo  amewataka wananchi kutokuwa na shaka juu ya ujenzi huo ambao unakwenda kuwa suluhisho la mafuriko eneo hilo
Sanjari na hilo RC Chalamila amezungumzia mpango wa ujenzi wa barabara katika Mkoa huo kupitia mradi wa DMDP ambapo amesema wakandarasi wengi wameshaingia kazini na amewahakikishia wananchi kuwa barabara ambazo bado ujenzi haujaanza ndani ya muda mfupi kazi itaanza pia amesisitiza juu ya mpango wa serikali kuimarisha usafiri wa mwendokasi kupitia wawekezaji binafsi.

Aidha RC Chalamila amezungumzia suala la uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu na kusisitiza kuwa licha ya tofauti za itikadi za kisiasa zilizopo Mkoa utaendelea kuwa salama kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi na kwamba kila aliejiandikisha Mkoani humo atapiga kura kwa amani na utulivu hivyo amewataka wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu kwani Jeshi la polisi litafika kila penye viashiria vya uvunjifu wa amani.Vilevile kupitia mkutano huo ikiwa ni sehemu ya utaratibu wake kuutaarifu umma kupitia vyombo vya habari Mkuu wa Mkoa huo amezungumzia mpango wa biashara saa 24 na kusisitiza kuwa uwepo wa bandari, uwanja wa ndege wa kimataifa,kituo cha mabasi cha magufuli, umeme na soko lakimataifa la kariakoo ni nyenzo muhimu kufikia lengo la biashara saa 24
Mwisho RC Chalamila amewatakia Kheri ya Pasaka wakristo wote na wakazi wa Dar es Salaam kwa ujumla kusherekea kwa Amani na Utulivu Jeshi la polisi lipo kazini saa 24. Pia amemtangaza Mr Pimbi na wenzake kuanzia leo ni mabarozi wa Mkoa huo wa kutangaza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita katika Mkoa huo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Dkt Hussein Ally Mwinyi Aweka Jiwe la Msingi Barabara ya Kiibada, Mwasonga-Kimbiji

    April 25, 2025
  • RC Chalamila Dar ni Salama Aeleza Mafaniko na Mipango ya Maendeleo ya Mkoa

    April 18, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa