• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Bandari Kavu ICD Kusaidia Kupunguza Msongamano wa Mizigo Bandarini

Posted on: December 13th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Desemba 13, 2023 amekutana na uongozi wa Bandari na viongozi wa Bandari kavu (ICD) kujadili michakato ya kuondosha mizigo Bandarini.

RC Chalamila alisema kwa sasa bandari ya Dar es salaam inapokea mizigo mingi ila miundo mbinu bado ni ileile ya zamani hivyo kusababisha msongamano mkubwa wa bidhaa, magari na makasha bandarini hapo.

Aidha RC Chalamila alieleza sababu ya ongezeko la mizigo zikiwemo sikukuu na likizo kwa watumishi wa meli kwa nchi mbalimbali, "Tupo kipindi ambacho ujio wa meli ni mkubwa sana ikilinganishwa na miundombinu ambayo ndiyo haswa sababu ya Mhe Rais Dkt Samia kuwaza sasa mawazo mapana ya utanuzi wa bandari yetu ya Dar es Salaam."

Vilevile RC Chalamila alisema kutaundwa timu ya pamoja ambayo itayafanyia kazi yale yote waliyokubaliana, na wadau wote waweze kushiriki ili kuongeza ufanisi hivyo kupata majibu ya namna ya kuondoa changamoto hizo.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania(TPA), Bw. Plasduce Mbossa alisema wastani kwa siku wanapokea meli tano mpaka saba na kupambana kuzitoa zote siku hiyohiyo wakishirikiana na bandari kavu, na kupitia kikao hicho wamejadili namna ya kuongeza ufanisi uondoshaji wa mizigo kwa gharama nafuu, na kuweza kuhudumia nchi jirani.

Kwa upande Mmiliki wa Bandari Kavu ya PMM Dkt Judith Mhina, mipango mikakati iliyopangwa hapo itaisaidia bandari kupokea shehena kubwa hivyo wapo tayari kushiriana na serikali na kukuza uchumi wa nchi kiujumla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa