• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua na Kukabidhi Magari ya Wagonjwa Dar

Posted on: February 16th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 16 amezindua magari ya wagonjwa na usimamizi shirikishi wa utoaji wa huduma za afya ngazi ya Mkoa tukio ambalo limefanyika Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila baada ya uzinduzi huo amekabidhi magari hayo kwenye Wilaya zote za Mkoa huo ambapo amesema vyombo hivyo vya usafiri vitasaidia kwa kiasi kikubwa Kuimarisha mfumo wa Rufaa za wagonjwa na hasa usafirishaji wa dharura kwa akina mama wajawazito waliojifungua na watoto wachanga katika Mkoa

Aidha RC Chalamila amemshukuru Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya katika miundombinu ya Afya vifaa tiba na Wataalam wa Afya, ambapo amesema ni ukweli usiopingika kuwa vifo vya uzazi na watoto wachanga vinachangiwa na ucheleweshaji wa aina tatu, ucheleweshaji katika kufanya maamuzi ya kwenda kupata huduma, ucheleweshaji wa kuzifikia huduma/ usafiri wa rufaa za dharula usioimara, ucheleweshaji wa kupata huduma katika kituo cha kutolea huduma za afya

Hivyo upatikanaji wa magari haya unajikita kupunguza ucheleweshaji wa usafiri wa dharura katika kituo cha kutolea huduma.

Naya Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Mohamed Mang'una amesema magari hayo yanakwenda kupunguza kwa kiasi kikubwa ucheleweshaji wa usafiri wa dharura kufika katika kituo cha kutolea huduma hivyo amemshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kuboresha huduma mbalimbali za Afya

Mwisho RC Chalamila amezindua magari 14 na yote yamekabidhiwa katika Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam tayari kwa ajili ya kutoa huduma kwa Jamii


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa