• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua Mpango wa M-MAMA DSM

Posted on: July 12th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 12, 2023 amezindua mpango wa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga kwa Kuimarisha mfumo wa usafirishaji wa dharula kwa wajawazito na watoto wachanga maarufu kwa jina la M-MAMA.

RC Chalamila akizindua mpango huo amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa dhamira yake ya kutokomeza kabisa vifo vya kina mama na watoto wachanga vinavyotokana na uzazi ambapo amewataka wadau na hata watumishi wa umma kuunga mkono mpango wa M-MAMA ili kuleta ustawi na kukuza uchumi wa Taifa, tayari ameshaelekeza mikoa yote ya Tanzania bara na Visiwani kutekeleza mpango wa Kidigitali wa M-MAMA.

Aidha Mhe Chalamila amesema mpango mkakati wa maradi ni kuondoa ucheleweshaji unaoweza kutokea Katika ngazi tatu zinazopelekea wanawake wajawazito, waliojifungua na watoto wachanga kupata madhara yatokanayo na uzazi na wakati mwingine kupoteza maisha, ucheleweshaji huweza kutokea Katika kufanya maamuzi, kutafuta huduma, usafiri wa kufikia huduma na ucheleweshaji wa kupata huduma zilizo bora

Kwa upande wa mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Rashid Mfaume amesema lengo la Mkoa ni kuondoa kabisa vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga kwa Kuimarisha maeneo matatu ambayo ndiyo yameonekana kuwa ni Changamoto kubwa eneo la ucheleweshaji wa kufanya maamuzi ya kutafuta huduma, usafiri kufikia huduma na kupata huduma zilizo bora.

Mwisho hafla ya Uzinduzi huo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Anatouglo Mnazimmoja na kuhudhuriwa na watalaam wa Afya kutoka OR-TAMISEMI, Sekretarieti ya Mkoa ikiongozwa na Katibu Tawala Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya, Mameya, na waganga wa kuu wa Wilaya, Wataalam wa Afya na wadau wengine wa M- MAMA kama Vodacom.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa