• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Awasilisha Utekelezaji wa Ilani ya CCM-DSM

Posted on: February 28th, 2024

 

- Asema ulinzi na usalama, miundombinu ya barabara, maji, umeme, Afya, elimu, uwekezaji, viwanda na biashara kuendelea kupewa kipaumbele.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 28, 2024 amewasilisha utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi-CCM kwa Halmashauri Kuu ya Chama Mkoa mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama wakiongozwa na mwenyekiti wa CCM Ndg Abbas Mtemvu katika Ukumbi wa Manispaa ya Temeke Iddy Nyundo.

Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo RC Chalamila amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambazo zinatimiza ahadi ya CCM kwa wananchi iliyotolewa wakati wa uchaguzi na kutatua kero za wananchi na kuleta ustawi wa jamii.

RC Chalamila ameeleza bayana hali ya ulinzi na usalama katika Mkoa ambapo amesema hali ni shwari na jitihada za kudhibiti vitendo vya kihalifu zinaendelea pamoja na kufanya Operesheni mbalimbali za kukabiliana na matukio ya kihalifu.

Aidha RC Chalamila amesema uwekezaji mkubwa umefanyika katika nyanja mbalimbali ikiwemo Afya Mkoa una jumla ya vituo vya Afya 1,436, vituo vya Serikali 190 na 1,246 vituo binafsi, Elimu Shule za msingi 953 za Serikali 415 na Binafsi 538 pia Shule za Sekondari ziko 368 ambapo 188 za Serikali na 180 ni binafsi

Vilevile kwa upande wa barabara kupitia TARURA inahudumia barabara zenye urefu wa Km 5,057.765 zenye lami ni Km 612.410, changarawe Km 1,641.601 na udongo Km 2,832.622.

Pia kupitia DMDP II Mkoa umepangiwa kuboresha zaidi ya Km 250 za Barabara katika Wilaya zote tano kwa gharama ya shilingi bilioni 988 vilevile kupitia TANROAD inahudumia mtandao wa barabara zenye Km  619.84 ikiwa Barabara Kuu Km 119.97 barabara za Mkoa Km 400.75 na zilizokasimiwa ni Km 99.12

RC Chalamila amesema ni ukweli usiopingika fedha ni nyingi katika Mkoa huo na miradi ya maendeleo ni mingi pia ikiwemo ya maji, uwekezaji , viwanda na Biashara, uchumi na uzalishaji na miradi mingine ikiwemo ya makundi maalum kama kuwezesha wazee

Mwisho Mkoa wa Dar es Salaam unaishikuru sana Serikali inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na mwenyekiti wa CCM Taifa chenye Ilani ya kuleta maendeleo na ustawi wa maisha ya wananchi.






Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa