• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Aungana na Wafanyakazi wa Lake Cement Kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi

Posted on: June 14th, 2024

 

-Asema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji wa ndani na nje ili kupanua wigo wa ajira na mapinduzi ya kiuchumi 

-Asema katika kila kiwanda ndani ya Mkoa huo kuhakikisha sehemu ya faida inarejeshwa kwa jamii 

-Ashiriki kupanda miti kuhamasisha jamii na wadau kutunza mazingira 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 14, 2024 ameungana na mamia ya wafanyakazi katika kiwanda cha Lake Cement LTD Kigamboni katika maadhimisho ya 9 ya wafanyakazi wa kada mbalimbali ikiwa ni utaratibu ambao kiwanda hicho kimejiwekea kwa lengo la kutambua mchango wa wafanyakazi katika uzalishaji ndani ya kiwanda hicho. 

RC Chalamila amepongeza uwekezaji uliofanywa na kiwanda cha Lake Cement LTD pamoja na fursa za ajira ambazo zimetolewa kwa vijana wazawa wakitanzania amefurahishwa na jinsi kiwanda hicho kinavyo jali wafanyakazi hadi kufikiria kuwa na siku ya wafanyakazi ambapo amewataka kutokuishia hapo waangalie pia masilahi mengine ya wafanyakazi pamoja na kupandisha mishahara 

RC Chalamila amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika Mkoa huo ili kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji zaidi wa ndani na nje kwa lengo la kupanua wigo wa ajira na mapinduzi makubwa ya kiuchumi 

Aidha RC Chalamila ameelekeza kila kiwanda ndani ya Mkoa huo kuhakikisha kinatoa sehemu ya faida (CSR) kuirejesha kwa jamii ambapo kiasi hicho kitumike katika kutekeleza miradi mikubwa ambayo inamasilahi mapana kwa umma kuliko ilivyo sasa 

Sambamba na hilo RC Chalamila ameshiriki zoezi la kupanda miti pamoja na wafanyakazi hao ikiwa ni ishara ya kuelimisha jamii katika utunzaji wa mazingira pia alikabidhi zawadi na tuzo mbalimbali kwa wafanyakazi wa kiwanda hicho wa kada mbalimbali waliofanya vizuri

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa