• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Aunda Kamati Ndogo Kuchunguza Janga la Moto Kariakoo

Posted on: October 2nd, 2023

 

RC Albert Chalamila leo Octoba 2, 2023 ametembelea eneo lililokumbwa na ajali ya moto Kariakoo na kuzungumza na wafanyabishara ambapo amesema tayari ameshaunda kamati ndogo ndani ya siku saba itakuja na majibu ya sakata zima la Janga la moto uliotokea mapema Jumapili ya Octoba 1, 2023 ambao umeteketeza jengo na baadhi ya bidhaa za wafanyabishara.

RC Chalamila amewataka wale wote walioziba vipenyo au njia kati ya jengo moja na lingine kwa mujibu wa mipango miji kubomoa pia ametoa rai kwa wafanyabishara kukata bima ambayo itawanusuru pale majanga yanapotokea vilevile amewataka wadau wa bima kuendelea kutoa elimu kwa wafanyabishara hao

Aidha RC Chalamila amewasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa wafanyabishara wote wa Kariakoo hususani walifikwa na janga hilo la moto na kuwaomba kuendelea kuwa watulivu pia amevitaka vyombo vya habari kuepuka upotoshwaji kufanya kazi kwa weledi na kuhakikisha wanatoa taarifa sahihi kutoka kwenye vyanzo sahihi

Vilevile Mhe Mkuu wa Mkoa alipata wasaa wa kusikiliza maoni ya wafanyabishara na kuwahakikishia Serikali na wadau wengine wa biashara wako karibu nao wawe na imani na Serikali.

Mwisho Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward mpogolo ameishukuru vyombo vya ulinzi na Usalama na Taasisi zingine binafsi ambavyo vilishiriki kikamilifu kuzuia kuenea kwa moto huo amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kujipanga vizuri dhidi ya majanga hayo ili yasitokee tena


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa