• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atoa Salaam za Christmas na Mwaka Mpya 2025

Posted on: December 23rd, 2024

 

Kuelekea sikukuu za Chrismas na Mwaka mpya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amesema ulinzi na usalama umeimarishwa ili kuhakikisha wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo wanakuwa salama katika kipindi chote cha sikukuu na baada ya sikukuu, pia amewataka wazazi na walezi kusimamia vema usalama wa watoto kwa kutowapeleka kwenye maeneo hatarishi.

Akizungumza na waandishi wa Habari leo Disemba 23,2024 katika Hotel ya Johari Rotana jijini Dar es salaam wakati akitoa salamu za sikukuu za Chrismas na Mwaka mpya amesema Mkoa kupitia jeshi la polisi umeimarisha ulinzi ambapo ameitaka jamii kushirikiana na serikali kudumisha amani ya Mkoa huo na Taifa kwa ujumla

Aidha Kupitia salamu hizo za sikukuu  RC Chalamila amewatoa shaka wananchi wa Mkoa huo kuhusiana na miradi ya ujenzi wa barabara kupitia DMDP ambayo imeonekana kuchelewa ambapo amesema miradi hiyo imeshakabidhiwa kwa wakandarasi na inatarajia kuanza mapema januari mwaka 2025 huku pia akieleza mipango ya kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji safi.

Vilele RC Chalamila amezungumzia mkakati wa kuanza kwa shughuli za kibiashara saa 24 eneo la Kariakoo ambapo amesema zoezi hilo litazinduliwa rasmi mwezi januari 2025 ambapo wakuu wa wilaya,wakurugenzi na maafisa biashara wanapaswa kuainisha maeneo ambayo biashara zinaweza  kufanywa saa 24  ikiwwmo eneo la kariakoo

Sanjari na hayo Chalamila amezungumzia mikakati ya Mkoa huo kupokea wanafunzi wa chekechea, darasa la kwanza na kidato cha kwanza na kueleza kuwa serikali imeendelea kuwekeza fedha ili kufikia malengo ya elimu hivyo ambapo amehimiza wafanyabiashara kulipa kodi ili malengo hayo yaweze kutimia

Mwisho akijibu maswali ya waandishi wa habari RC Chalamila ameeleza mipango ya kuboresha huduma za usafiri wa mwendokasi maarufu BRT ambao kwa sasa  amesema idadi ya mabasi haitoshelezi , pia amehimiza madereva kutoingilia njia za mabasi ili kuepuka ajali na amesisitiza wananchi kutovamia maeneo kiholela kufanya biashara

Ifahamike kuwa utaratibu huu wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kutoa salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka imekuwa na nafasi kwa mkuu wa mkoa kuelezea maendeleo ya mkoa huo na changamoto zilizopo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa