• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atoa Maelekezo Sita ya Kuzingatia Kuelekea Maandalizi ya Ujio wa Marais wa Afrika

Posted on: January 11th, 2025

-Mosi Aagiza Eneo la Feri kuwa Safi

-Pili Mchakato wa kumpata Mwekezaji Mkubwa wa dampo uharakishwe

-Tatu Barabara ya Feri kwenda Hyatt, Johari Rotana mpaka stesheni itafungwa kwa baadhi ya vyombo vya usafiri

-Nne Katibu Tawala wa Mkoa kusimamia watendaji wote kuanzia TPA, Temesa kuja Jiji maeneo hayo yawe safi

-Tano Barabara zitakazotumiwa na Marais kwa ajili ya mazoezi ziwashwe taa

-Sita Kibaka yoyote atakayekamatwa apelekwe maabara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila Leo tarehe 11 Januari 2025 ameshiriki katika zoezi Maalumu la usafi wa Mji pamoja na Vyombo vya Usalama, Viongozi wa Mkoa, Wilaya, Halmashauri na Taasisi za Umma lililofanyika katika Wilaya ya Ilala.

Akiwa katika zoezi Maalumu la Usafi RC Chalamila ametoa Maelekezo *Sita* ya kuzingatia kuelekea Maandalizi ya ujio wa Marais wa Afrika ikiwa ni pamoja na:-

Mosi, Eneo la feri linapaswa  kuwa safi ambapo Mhe. Chalamila amesema Soko Hilo kwa muda mrefu  limekuwa haliridhishi katika usafi hivyo kama atagundua bado hali ni mbaya tarehe 23- 25 atapafunga  na kuwaleta  Jeshi,  Polisi, Jkt, Zimamoto, Uhamiaji watafanya usafi mpaka pale watakapojifunza wafanyabiashara hao namna ya  kufanya biashara na kutunza mazingira

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa ameagiza Mchakato wa kumpata Mwekezaji Mkubwa wa Dampo uharakishwe mara Moja ili dampo lipate mwekezaji Mkubwa anayejitambua anayeweza kuzalisha ajira, gesi, na mbolea

Vile vile RC Chalamila ameongeza kuwa Barabara ya feri kwenda hyati, Johari Rotana   mpaka stesheni  itafungwa *kwa baadhi ya vyombo vya usafiri* na kuelekezwa vipite wapi  ili wageni wetu watakapokuwa hapa kusiwe na foleni kubwa

Aidhaa, Mhe. Mkuu wa Mkoa amemuagiza Katibu Tawala kuwasimamia  watendaji wote wa maeneo ya  kuanzia TPA kuja Temesa kuelekea Jiji kuwa yawe safi

Wakati huo huo RC Chalamila amesisitiza kuwa Barabara zitakazotumiwa na Marais kwa ajili ya mazoezi  ziwashwe taa ili vibaba wadogo wadogo waweze kuwa na aibu kutokana na taa zinazowaka

Mwisho Mhe.Chalamila akasisitiza kuwa kibaka wote kuanzia Leo atakayekamatwa apelekwe maabara ili kiwe chombo Cha kufundishia kwa wanafunzi wanaotaka kuja kuwa wezi (watakaojifunza kuwa wizi haustahili katika Jiji la Dar es Salaam)

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa