• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atembelea Maeneo ya Kimkakati ya Bandari ya Dar es Salaam

Posted on: July 17th, 2023

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 17,2023 ametembelea maeneo ya kimkakati katika Bandari ya Dar es Salaam (TPA) akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa huo.

RC Chalamila akiwa katika Bandari hiyo amepata wasaa wa kusikiliza taarifa fupi ya uendeshaji wa Bandari na kisha kwenda kujionea *miundo mbinu na mitambo katika Bandari hiyo kuanzia Gati namba O hadi 7

Aidha Mhe Chalamila amemshukuru sana Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa dhamira yake njema ya  kuboresha Bandari ili ilete tija kwa masilahi mapana ya Taifa huku akiwataka watanzania kuachana na upotoshwaji unaofanywa na watu wasiolitakia mema Taifa letu

Mhe Chalamila amejionea Gati namba 0 inayohudumia magari, Gati namba 1-4 mizigo, Gati namba 5-7 makasha ambapo teknolojia inayotumika haikidhi viwango vya Kimataifa kuna mitambo miwili tu ya kisasa (SSG) ambayo Mhe Rais amenunua na haitoshelezi inahitajika zaidi ya 50 hivyo ni lazima kushirikisha sekta binafsi.

Hata hivyo RC Chalamila ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Bandari kuendelea kuwaalika watu wa aina mbalimbali hususani wanasiasa ili wapate uelewa wa uendeshaji wa Bandari hiyo, pia wanasheria wa Bandari kuendelea kufafanua vipengele vya makubaliano kati ya TPA na DP world ili watu waelewe dhamira njema ya Rais, Taifa linahitaji kusimama imara lazima tumuunge mkono Rais aendelee kusonga mbele.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa TPA Ndg Mrisho Selemani amesema pamoja na makubaliano ya TPA na DP world suala la ulinzi na usalama ni la Bandari kama ilivyo sasa wananchi waondoe hofu pia ili Bandari iweze kufikia viwango vya Kimataifa lazima maboresho makubwa ya teknolojia ya kisasa na miundo mbinu yafanyike, kufikia hatua hiyo uwekezaji mkubwa unahitajika tena kwa gharama kubwa, hivyo kufanikiwa hilo ni lazima Serikali ishirikishe sekta binafsi "kwa mfano maboresho ya Gati moja ni zaidi ya Dola za kimarekani million 100" Alisema Ndg Selemani hivyo makubaliano ya Uendelezaji Bandari ya DSM na DP world ni fursa adhimu ambayo inapaswa kuungwa mkono kwa masilahi mapana ya Taifa na Ustawi wa jamii

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa