• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Arudisha Tabasamu kwa Mjane Bi Alice Haule.

Posted on: October 20th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amehitimisha mgogoro wa nyumba kiwanja namba 819 Msasani beach uliomhusisha mjane wa marehemi Justice Rugaobula, Bi Alice Haule na Muhammed Mustafa Yusuf Ali ambapo amemkabidhi hati maalum iliyotolewa na wizara ya Ardhi ambayo inamtambilisha Bi Alice Haule ndiye msimamizi halali wa mirathi kisheria baada timu ya wataalamu aliyoiunda kujiridhisha kuwa mjame huyo ndiye anaepaswa kukabidhiwa umiliki wa nyumba hiyo kama msimamizi wa mirathi

Akizungumza leo Octoba 20,2025 Jijini Dar es Salaam RC Chalamila amesema baada ya kuibuka kwa mgogoro huo wa nyumba aliamua kuunda timu maalum ya wataalamu iliyohusisha wataalamu kutoka ofisi ya kamishna wa ardhi, jeshi la polisi na mawakili kutoka pande zote za mgogoro ambapo timu hiyo imejiridhisha kuwa Bi Alice ndio mwenye haki kwenye nyumba hiyo kama msimamizi wa mirathi ya marehemu mumewe bwana Justice Rugaobula

Aidha RC Chalamila baada ya kumkabidhi hati miliki iliyoandikwa jina lake Bi Alice kama msimamizi wa mirathi amemkabidhi pia mjane huyo kiasi cha shilingi milioni 10 kama kifuta machozi kitokana na usumbufu alioupata na amemtaka Muhammed Mistafa Yusuf Ali kufika ofisini kwake ndani ya muda wa siku tano kwani muda wote wa kuendesha shauri hilo amekua akitafutwa na hajawahi kutokea lakini pia anatuhuma za kutumia vibaya majina ya viongozi

Kwa upande wa Naibu Kamishna wa ardhi Mkoa wa Dar es salaam Shukrani Kyando akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya ardhi ameeleza hatua mbalimbali zilizochukuliwa hadi kufikia maamuzi ya kumkabidhi nyumba hiyo Bi Alice ambapo amesema nyumba hiyo haikuuzwa kisheria kwani fedha walizopeana ni za kukopeshana lakini pia hakuna sehemu Bi Alice alishiriki uuzaji wa nyumba hiyo ya wanandoa

Mara baada ya maamuzi hayo kitolewa Bi Alice kukabithiwa hati miliki ya nyumba hiyo mjane huyo amemshukiru Rais Dkt Samia na Mkuu wa mkoa Dar es salaam kwa kumuwezesha kupata haki hiyo na amebainisha kuwa kwa sasa anaishi na watoto wanne wawili amezaa na marehemu mumewe lakini wawili ni watoto wa mrehemu mumewe aliozaa na mwanamke mwimgine

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt Samia Suluhu Hassan Kufanya Mikutano ya Kampeni Siku 3 Kuanzia Oktoba 21,2025

    October 20, 2025
  • RC Chalamila Arudisha Tabasamu kwa Mjane Bi Alice Haule.

    October 20, 2025
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akutana na Makundi Maalum - DSM

    October 17, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa