• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Agusa Sanaa ya Uigizaji Atoa Milioni 15

Posted on: November 4th, 2024

 

-Asema pesa hiyo inakwenda kuanzisha mfuko maalumu wa wasanii wa sanaa ya uigizaji kama namna ya kumuenzi Marehemu Grace Mapunda (TESSA)

-Aitaka jamii kutumia pesa wanazopata kuleta nuru na faraja kwa watu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 4, 2024 ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa huo wakiwemo makundi mbalimbali ya wasanii kuaga mwili wa Grace Mapunda maarufu kwa jina la TESSA wa HUBA katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni.

RC Chalamila akitoa salamu za Mkoa amesema kuwa anatambua juhudi kubwa zinazofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu  Hassani katika tasnia ya sanaa hapa nchini ambapo uwekezaji mkubwa ameufanya kwa kuanzisha mfuko wa wasanii kwa ujumla wake.

Hivyo kwa kuunga mkono juhudi hizo RC Chalamila ametoa milioni 15 kwa ajili ya kuanzisha mfuko wa wasanii wa sanaa za uigizaji ambapo wadau wengi wamefurahishwa na hatua hiyo na kuahidi kuendelea kuchangia mfuko huo akiwemo Steve Nyerere, Haji Manara pamoja na Shafii Dauda.

Aidha RC Chalamila ametoa rai kwa jamii kutumia pesa wanazopata kuleta nuru na faraja kwa watu, kurejesha umoja na amani pia kuokoa maisha ya watu.

Mwisho Mhe Mkuu wa Mkoa amewataka wasanii kuendelea kuyaenzi maisha ya Grace Mapunda na kumtaka kiongozi wa wasanii ndani ya wiki mbili kuanzia leo wakutane ofisini kwake kufanya mazungumzo kwa maslahi mapana ya tasnia hiyo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa