• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afungua Mafunzo ya Matokeo ya Sensa kwa Wasanii

Posted on: June 12th, 2024

 

-Asema wasanii wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa 

-Awataka kupitia kazi zao za sanaa kufikisha ujumbe wa matumizi ya matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 kwa jamii 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 12,2024 amefungua mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kwa wasanii wa Mkoa wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Kiramuu, Mbezi-Beach 

RC Chalamila akifungua mafunzo hayo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanazania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna alivyowekeza na kujali wasanii hapa nchini ambapo ameweza kuanzisha mfuko maalum wa wasanii 

Vilevile RC Chalamila ametoa rai kwa wasanii hao kupitia kazi zao za sanaa kuweka jumbe za matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 ili wananchi waliowengi wapate kuelewa matumizi ya matokeo ya Sensa baada ya mafanikio makubwa ya takwimu za Sensa yaliyopatikana baada ya kukamilisha zoezi la kuhesabu 

Sanjari na hilo RC Chalamila amesema wasanii ni kundi muhimu ni viziri Kabla hatujadhibiti kazi ya msanii kufanyike mjadala kujua historia yake na mambo mengine hatimaye ajengewe uwezo zaidi “ Wasanii wanaweza kuwasilisha kwa watu wengi ujumbe mgumu kwa wepesi na watu wakauelewa” Alisema RC Chalamila 

Mwisho mafunzo hayo kwa wasanii yameratibiwa na ofisi ya Taifa ya Takwimu ambapo kundi la wasanii kwa Mkoa wa Dar es Salaam ni kundi la kwanza kupatiwa mafunzo hayo hivyo kutokana na nguvu kubwa ya wasanii katika jamii ni ukweli pasina Shaka ujumbe wa matumizi ya matokeo ya Sensa unakwenda kuifikia idadi kubwa ya watu nchi nzima

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa