• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afanya Ziara Kiwanda cha Saruji Wazo Hill

Posted on: January 17th, 2025

 

-Akutana na uongozi wa kiwanda na kufanya mazungumzo

-Atembelea eneo la Kiwanda lililovamiwa na wananchi na kutoa maagizo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Januari 17,2025 amefika katika kiwanda cha Saruji Wazo Hill Wilaya ya Kinondoni kwa lengo la kujionea malalamiko ya mara kwa mara ambayo yamekuwa yakitolewa na uongozi wa kiwanda hicho.

RC Chalamila amesema malalamiko hayo ni kama uvamizi wa eneo la kiwanda ambao umepelekea kiwanda kuwa na eneo dogo licha ya kuwa na eneo kubwa hapo awali pia mifumo ya upatikanaji wa maji toshelevu kwa matumizi ya kiwanda.

Aidha katika kufikia suluhu ya malalamiko hayo RC Chalamila amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuitisha mkutano wiki ijayo ambao utajumuisha wananchi wa eneo hilo, uongozi wa Mkoa na Wilaya pamoja na uongozi wa kiwanda ili kuanza upya mazungumzo, pia amemtaka Mtendaji mkuu DAWASA kufika mara moja katika kiwanda hicho kuketi na menejimenti ya kiwanda hicho ili kuona namna bora ya kumaliza changamoto hiyo.

Vilevile RC Chalamila amemuagiza Naibu kamisha wa Ardhi Mkoa kwa kushirikiana na wanasheria chini ya usimamizi wa Katibu Tawala wa Mkoa kuunda kamati ndogo ambayo itapitia malalamiko na hukumu zilizotolewa na mahakama katika eneo hilo ili kuweza kumshauri Mkuu wa Mkoa njia sahihi za kupita kwa lengo la kupunguza malalamiko kwa mwekezaji.

Sanjari na hilo RC Chalamila amesema Kiwanda hicho ni muhimu sana kwa masilahi mapana ya umma kwa kuwa kinatoa fursa kubwa ya ajira lakini pia huchangia katika pato la Taifa


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa