• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afanaya Ziara Eneo la EPZA - Ubungo

Posted on: September 10th, 2024

 

-Akagua uwekezaji mkubwa wa viwanda vya Kisasa katika eneo hilo.

-Afurahishwa na ajira za watu zaidi ya 4500 katika kiwanda hicho.

-Aagiza wataalam wa Ardhi na Mipango miji katika wilaya zote za Mkoa kutenga na kupima meeneo zaidi ya uwekezaji.

-Azitaka Taasisi ambata kuwezesha wawekezaji walioko katika eneo hilo kwa mfano DAWASA.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila Leo Septemba 10,2024 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua uwekezaji eneo la EPZA (Export Processing Zone Authority) iliyopo Ubungo-External. 

Akiwa katika eneo hilo RC Chalamila alipata taarifa fupi ya uwekezaji wa aina mbalimbali ndani ya EPZA na kukagua uzalishaji wa bidhaa za nguo katika moja ya viwanda vilivyomo katika eneo hilo.

Pia, Mheshimiwa Chalamila amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake makini ambao umewezesha uwekezaji wa zaidi ya Dollar Milioni 2 katika kituo hicho.

Aidha Mhe. Chalamila ameagiza wataalam wa Ardhi na Mipango Miji kutenga na kupima maeneo zaidi ya uwekezaji yenye miundombinu rafiki kwa wawekezaji wa ndani na nje.

Sanjari na hilo RC Chalamila amefurahishwa na fursa nyingi za ajira kwa wazawa ambapo amesema zaidi ya watu 4500 wamepata ajira kutokana na uwekezaji huo.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa EPZA Bw. Charles Itembe amesema sekta hii imewezesha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania pia usahili wa kampuni takribani 80 ambazo zinachagiza ongezeko la uwekezaji na uzalishaji.

Mwisho, RC Chalamila amehakikishia watanzania hususani wakazi wa Mkoa wa Dar es salaam kuwa Tanzania ni salama sana, Jeshi la Polisi linaendelea kudhibiti vitendo vidogovidogo vinavyoashiria uvunjifu wa amani.






Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa