• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAIS MAGUFULI Kumpokea Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda

Posted on: August 7th, 2018

Ndugu Wananchi wa Mkoa wa Dar es salaam napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha juu ya ujio wa Ugeni wa Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni.

Rais Museven anatarajiwa kufika nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja siku ya alhamisi ya tarehe 09/08/2018 Majira ya Aubuhi na kupokelewa na Mwenyeji wake hapa nchini, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (Terminal One) na kuelekea Ikulu kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi na baadae saa nane mchana ataondoka hapa nchini.

Ugeni huu ni maalum kabisa katika kudumisha mahusiano ya Nchi hizi mbili ikizingatiwa kuwa kwa muda mrefu Nchi ya Uganda na Tanzania zimekuwa katika mahusiano ya Kiuchumi hasa katika sekta ya Usafirishaji ambayo tumeshuhudia kufufuliwa kwa safari za kusafirisha mizigo kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRL) Kwenda Uganda, pamoja na hayo nchi ya Uganda (ambayo ni landrocked ) ni mtumiaji Mkubwa wa Bandari zetu za Tanga na Dar es salaam katika kupitisha mizigo yake kutoka nchi za nje, lakini pia si haya tu, tunashuhudia kwa sasa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Tanga kwenda Hoima Nchini Uganda unaodhihirisha wazi kuwa nchi ya Uganda na Tanzania ni marafiki wanaotegemeana kwenye mambo mengi.

Ujio wa Mh Rais Museveni unazidi kudhihirisha kuwa Serikali yetu ya awamu ya tano chini ya uongozi uliotukuka wa Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli inaheshimika na kuthaminiwa katika siasa za kimataifa. 

Kwa kutambua ugeni huu sisi kama wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa niaba ya wananchi wote wa Tanzania tunamkaribisha mgeni wetu na ajisikie kuwa yuko nyumbani muda wote atakapokuwa hapa jijini.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa