• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Rais DKT Samia Kuzungumza na Wazee wa Dar Disemba 2,2025

Posted on: December 1st, 2025

 

Rais wa Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam siku ya Jumanne Disemba 2 mwaka huu ambapo pia atatumia mkutano huo kulihitubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu Taifa

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila amesema hatua hiyo ya Rais Dkt Samia kuzungumza na wazee wa Mkoa huo na kulihutubia Taifa ni katika muendelezo wa dhamira yake njema ya namna bora ya kuirejesha nchi kwenye umoja wake, kuwafariji watanzania na kuimarisha demokrasia ili hatimaye kurejesha Tanzania katika hali ya kawaida ya amani, upendo na mshikamano.

RC Chalamila amewataka wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla kufuatilia mkutano huo utakaofanyika kwenye ukumbi wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere kuanzia saa tano asubuhi na kusisitiza kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu amekusudia kuliunganisha Taifa na kurejesha amani kama yalivyokua hapo awali

Aidha Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amewaasa wakazi wa jiji hilo hususani vijana kuendelea kushiriki kwenye ulinzi wa Mkoa huo na Taifa kwa ujumla ili kutunza amani kwani kupotea kwa amani hasa katika Mkoa huo ni kurudisha nyuma shughuli zote za maendeleo zilizokuwa zikiwanufaisha wakazi wa jiji hilo na mikoa jirani

Sanjari na hayo Chalamila amesema kuwa kutokana na maelelezo ya Rais Serikali mkoani humo imeendelea kuhakikisha jiji hilo linarejea na linarejesha huduma zake muhimu za kijamii ikiwemo huduma ya usafiri wa mwendokasi na kurejesha amani yake kama ilivyokua awali

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 17-21 NOVEMBA 2025 MKOA WA DAR ES SALAAM. November 24, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais DKT Samia Kuzungumza na Wazee wa Dar Disemba 2,2025

    December 01, 2025
  • Waziri Mkuu Atembelea Miundombinu iliyohabiriwa na Vurugu za Oktoba 29 Dar.

    November 24, 2025
  • Katibu Tawala DSM Akutana na Wadau toka CRDB.

    November 26, 2025
  • RC Chalamila Akutana na Wadau wa Nishati ya Mafuta Dar

    November 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa