• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Mkoa wa Dar es Salaam Kuendelea kuweka Mazingira Bora na Rafiki ya Biashara na Uwekezaji.

Posted on: July 10th, 2025

 

Mkoa wa Dar es salaam umedhamiria kuendelea kuimarisha miundombinu ya usafirishaji wa mizigo na watu kwa kujenga barabara bora ili kuufanya Mkoa huo uendelee kuwa kitovu cha uwekezaji na biashara na uendelee kuchangia kwenye pato la nchi kwa asilimia kubwa.

Akizungumza leo Julai 10, 2025 Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Mkoa wa Dar es salaam yaani "Dar es salaam Day" kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mkuu wa wilaya ya Temeke Mhe Sixtus Mapunda amesema Mkoa wa Dar es Salaam ni kitovu cha biashara na unachangia kwenye mapato ya nchi kwa zaidi ya asilimia 17 hivyo Mkoa unaendelea kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwa ajili ya usafirishaji, ambapo amesema Mkoa huo unafursa na maeneo mengi kwa ajili ya uwekezaji na biashara kwenye kila wilaya na kwamba ubora wa Mkoa huo unachagizwa na kazi nzuri iliyofanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuimarisha Bandari,Usafiri wa reli ya kisasa,uwanja wa ndege pamoja uwepo wa huduma bora za umeme na maji.

Aidha Mhe Mapunda ametoa mchanganuo wa maeneo ya uwekezaji kwa kila wilaya ambapo Wilaya ya Temeke ni maeneo 17,kinondoni maeneo 29 Jiji la Dar es Salaam maeneo 9, kigamboni maeneo 27 na ubungo maeneo maeneo 6 kwa ajili ya uwekezaji.

Kwa upande wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam Bwana Abdul Mhite amesema katika kuimarisha shughuli za biashara na uwekezaji Mkoa huo umekuwa na mikakati mbalimbali ikiwemo kuanzisha mfumo wa biashara saa 24 pamoja na kutoa mikopo ya asilimia 10 kwa wafanyabiashara ambapo zaidi ya vikundi 2000 tayari vimepatiwa mikopo

Maadhimisho ya siku ya Mkoa wa Dar es salaam yamefanyika kwenye viwanja vya SABASABA huku yakijielekeza kwenye mkakati wa kutangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika Mkoa wa Dar es Salaam

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Wataalam Kuja na Suluhu ya Msongamano wa Magari Dar

    July 11, 2025
  • Mkoa wa Dar es Salaam Kuendelea kuweka Mazingira Bora na Rafiki ya Biashara na Uwekezaji.

    July 10, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Akabidhiwa Ofisi Rasmi

    July 09, 2025
  • RC Chalamila Akutana na Viongozi wa Dini - DSM

    July 08, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa