• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani DSM Kufanyika Viwanja vya Mnazimmoja

Posted on: March 6th, 2023

Katibu Tawala Mkoa Bi Rehema Madenge Akionyesha Batiki ambayo itakuwa Vazi rasmi katika maadhimisho hayo.

-RAS Madenge amesema maadhimisho hayo yameanza leo Machi 6, 2023 katika viwanja hivyo na kilele chake ni Machi 8,2023

- Ataja Vazi rasmi litakalovaliwa katika maadhimisho hayo ni Batiki

- Akaribisha wanawake wote DSM na wadau kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani


Katika Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi Rehema Madenge amesema maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Mkoa wa Dar es Salaam mwaka huu yakichagizwa na kauli Mbiu " Ubunifu na mabadiliko ya Kiteknolojia, Chachu katika Kuleta Usawa wa Kijinsia " yatafanyika katika viwanja wa Mnazimmoja Ilala Jijini Dar es Salaam

Ameyasema hayo leo Machi 6, 2023 wakati akiongea na waandishi wa habari Ofisini kwake Ilala Boma.

Katibu Tawala wa Mkoa huo amesema maadhimisho hayo yameanza leo Machi 6, 2023 hadi Machi 8, 2023 yakipambwa na maonesho ya bidhaa mbalimbali za kijasiriamali ambazo zinatengenezwa na wanawake .

Aidha amesema katika maadhimisho hayo mwaka huu vazi rasmi litakuwa ni Batiki ambayo imetengenezwa na Wanawake wajasiriamali wa kitanzania, lengo likiwa ni kuunga mkono juhudi zao katika kujiletea maendeleo

Sambamba na hilo Katibu Tawala wa Mkoa ametumia fursa hiyo kuwakaribisha wanawake na Wananchi wote wa DSM kwa Ujumla kushiriki katika maadhimisho hayo katika viwanja vya Mnazimoja ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla

Ifahamike kuwa siku ya Kitaifa ya Wanawake Duniani ilianza mwaka 1911kufuatia maandamano ya Wanawake wafanyakazi wa viwandani nchini Marekani waliokuwa wakipinga mazingira duni ya Kazi kama vile ukosefu wa huduma za kijamii na unyanyasaji katika ajira, hivyo kuendelea kuadhimisha Siku hiyo ni kuenzi mchango wa Wanawake katika Ujenzi wa Taifa husika

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • RC Makalla Atimiza ahadi ya Kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa Kigali Rwanda

    March 10, 2023
  • RC Makalla Hakuna Fremu Soko la Kariakoo Zilizogawiwa Epukeni Matapeli

    March 26, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa