• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

Posted on: May 7th, 2025

 

-Kamati imeridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa Shukrani kwa Rais Dkt Samia kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi hiyo.  

Kamti ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 7, 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa huo Mhe Abbas Mtemvu imetembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa fedha nyingi zinazotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ambapo kwa ujumla Kamati hiyo imeridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.

Akiongea wakati wa Ukaguzi wa miradi hiyo Mhe Abbas Mtemvu amempongeza Mkuu wa Mkoa na viongozi wote waliochini yake kwa kazi nzuri wanayoifanya hususani utekelezaji wa mzuri wa miradi ya maendeleo yenye masilahi mapana kwa umma pamoja na ushirikiano mkubwa walionao kati ya Chama na Serikali.

Aidha kwa upande wa Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amesema miradi yote katika Mkoa huo, itakamilika kwa wakati kwa viwango na kuzingatia thamani ya fedha "Value for Money "

Vilevile amesema mkakati wa Mkoa kwa sasa kutokana na ufinyu wa Ardhi na ongezeko kubwa la idadi ya watu, majengo mengi ya umma ikiwemo shule, vituo vya Afya kwa sasa vitajengwa kwa Ghorofa ili kutumia vizuri Ardhi iliyopo.

Mwisho Kamati hiyo ikiwa katika muendelezo wa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo imekagua ujenzi wa Jengo la Ghorofa la Shule ya Sekondari Mangaya linalojengwa Mbagala, Maradi wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke unaojengwa Chamazi na Kituo cha Polisi cha Kisasa kinachojengwa Toangoma

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Dkt Hussein Ally Mwinyi Aweka Jiwe la Msingi Barabara ya Kiibada, Mwasonga-Kimbiji

    April 25, 2025
  • RC Chalamila Dar ni Salama Aeleza Mafaniko na Mipango ya Maendeleo ya Mkoa

    April 18, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa