• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dar Kuadhimisha Siku ya Amani Sept 23,2024

Posted on: September 21st, 2024

Mkoa wa Dar es Salaam umepanga kuadhimisha siku ya Amani Duniani, Sept 23,2024.

Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt Toba Nguvila amesema  Maadhimisho ya  Amani Duniani huadhimishwa kila ifikapo tarehe 21 Septemba, kwa lengo la kuhamasisha watu wote Duniani kuzingatia umuhimu wa Amani katika jamii zao.

Siku hii inatumiwa kuwakumbusha watu kuhusu umuhimu wa kutatua migogoro kwa njia za Amani, kuzuia vita, kuimarisha mshikamano na umoja miongoni mwa watu wa mataifa mbalimbali.

Vilevile ni fursa ya kuangazia masuala ya haki usalama na maendeleo endelevu ili kujenga Dunia bora kwa kila mtu.

Aidha Dkt Nguvila amesema maadhimisho ya siku hii ya Amani yanatoa fursa kuhamasisha watu kuhusu misingi ya Amani, kukabiliana na migogoro, kujenga uelewa na kujitolea kwa jamii.

Sambamba na hilo Dkt Toba amesema kwa kutambua umuhimu wa Amani katika Taifa letu, Mkoa umepanga kufanya maadhimisho haya tarehe 23 septemba 2024 katika viwanja vya Leaders Club Wilaya ya Kinondoni kuanzia saa 1:00 asubuhi, ambapo amesema kutakuwepo na shughuli mbalimbali ikiwemo hotuba za viongozi wa Dini, burudani, Sanaa mbalimbali, michezo na maonyesho yanayoonyesha umuhimu wa Amani.

Mwisho Katibu Tawala Mkoa amewakaribisha wananchi wote, bodaboda, Mama Lishe, Machinga, Vyama vya Siasa na Asasi za Kiraia kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya Leaders ili kushiriki Maadhimisho haya ya siku ya Amani

“Dumisha Amani, Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa”






Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa