• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dar es Salaam Yadhihirisha Mafanikio Makubwa Miradi ya Maendeleo Kupitia Mwenge wa Uhuru 2025

Posted on: June 6th, 2025

 

-Miradi yote ya maendeleo katika wilaya zote 5 za Mkoa huo imepitishwa na Mwenge wa Uhuru kwa asilimia 100 hakuna mradi uliokataliwa.

Mwenge wa Uhuru 2025 ulianza kukimbizwa katika Mkoa wa Dar es salaam Juni 1, 2025 ukianza Wilaya ya Temeke, Juni 2, 2025 Kigamboni, Juni 3, 2025 Ilala, Juni 4, 2025 Kinondoni na Juni 5,2025 umehitimishwa Wilaya ya Ubungo.

Katika Mkoa wa Dar es Salaam Mbio za mwenge wa Uhuru zikiongozwa na Ndg Isumail Ali Ussi Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ameongoza kuukimbiza Mwenge huo umbali wa Km 357.03 ukitembelea, kukagua, kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani zaidi ya Bilioni 79. ambapo miradi yote imepitishwa na Mwenge wa Uhuru hakuna mradi uliokataliwa.

Aidha Mwenge wa Uhuru ukiwa unakimbizwa katika maeneo mbalimbali ya Mkoa umeendelea kuelimisha jamii na kuwahamasisha wananchi kupitia kaulimbiu ya mwaka huu isemayo "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu" pamoja kuhamasisha wananchi mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, Malaria, Rushwa na mapambano dhidi ya Madawa ya kulevya.

Mwenge wa Uhuru 2025 leo Juni 6, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga ambako utaendelea  kutembelea, kukagua, kuweka Jiwe la msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Mwenge wa Uhuru 2025 Oyeeeee.......

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dar es Salaam Yadhihirisha Mafanikio Makubwa Miradi ya Maendeleo Kupitia Mwenge wa Uhuru 2025

    June 06, 2025
  • Wilaya ya Ilala Yafanya Vizuri Mwenge wa Uhuru 2025

    June 04, 2025
  • Dar Yaendelea Kufanya Vizuri Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025

    June 03, 2025
  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa