• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dar es Salaam Yaadhimisha Kilele cha Siku ya Chakula Duniani

Posted on: October 16th, 2022

- Wananchi watakiwa kuzingatia Lishe bora kuondoa udumavu,na kudhibiti magonjwa yasiyo ambukiza

- Waandaaji na Washiriki wa maonesho wapongezwa kwa ubunifu, na matumizi ya Sayansi na Teknolojia mpya

- Msisitizo watolewa juu Utoaji  wa elimu ya lishe na uzalishaji wa chakula

Akiongea katika Maadhimisho ya kilele cha siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo Octoba 16,2022 katika viwanja vya Mnazimmoja Ilala Jijini Dar es Salaam Mgeni rasmi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Kheri James ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amewataka wananchi na wakazi wa Mkoa huo kuzingatia Lishe bora kwa kuwa Udumavu na magonjwa mengi yasiyo ambukiza yanayoikiumba jamii yanatokana na Lishe duni.

Aidha Mhe Kheri James amepongeza Waandaji na Washiriki wa maonesho hayo kwa ushirikiano waliouonyesha Kufanikisha maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani ambayo yalipambwa na maonyesho ya bidhaa na huduma mbalimbali

Hata hivyo Mgeni Rasmi alivutiwa na bidhaa za kilimo, uvuvi na mifugo ambazo zimeandaliwa kwa kutumia Sayansi na Teknolojia mpya inayoendana na nyakati ya sasa.

Mhe Kheri James amewataka wananchi kutumia maonesho hayo kama nyenzo muhimu ya kujipatia elimu juu ya uzalishaji bora wenye tija wa bidhaa za kilimo, uvuvi na mifugo ili kukabiliana na ukosefu wa lishe bora na magonjwa yasiyo ambukiza katika Jamii.

Ifahamike kuwa Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa kuzingatia maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu baada ya kusaini Mkataba wa Lishe tayari mkoa umejipanga kuchukua hatua za makusudi ili wananchi wapate Lishe bora yenye virutubisho vyote muhimu ikiwemo kuendelea kutoa elimu ya lishe na uzalishaji wa chakula bora

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa