• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Askari Polisi Zingatieni Maadili na Misingi ya Utumishi wa Umma

Posted on: December 14th, 2023

Hayo yamesemwa leo Desemba 14, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert John Chalamila wakati akizungumza na askari kwenye ukumbi wa Polisi wa Barracks uliopo wilayani Temeke - DSM.

RC Chalamila alisema vyombo vya dola vinapata sifa pale askari wanapokuwa waadilifu wakiwa wanatekeleza majukumu katika kusimamia haki, ulinzi, amani na usalama wa raia na mali zao kwa kuzingatia misingi ya utumishi wa umma " kamwe usikubali kufanya jambo lolote linalodharirisha Jeshi la polisi au heshima na utu wako" Alisisitiza RC Chalamila

Aidha RC Chalamila amewataka askari hao wafanye kazi kwa kushirikiana wao wenyewe na raia, na wawe mstari wa mbele na viongozi na katika kutatua matatizo na changamoto kabla hazijawa sugu.

"Endapo wasipotatua tatizo, tatizo litazidi kukua na likishakua ndilo litachukua nafasi ya uongozi ndipo kiongozi ataonekana tatizo kwenye jamii husika kwasababu ameshindwa kujiamini ili kutatua tatizo hivyo, simameni kama viongozi wakati wakutatua changamoto mbalimbali

Vilevile RC Chalamila amewaasa kuepukana vitendo vya rushwa na kuielewa vizuri dhana ya uadilifu na umasikini, utakuta mtaani wanasema we kuwa muadilifu ufe masikini hiyo sio kweli unauwezo wa kuwa tajiri ndani ya uadilifu. ni vizuri uwe kiongozi unayejitambua mwenye kuisemea vizuri serikali na nchi ya Tanzania.

"Tunaelekea kwenye kipindi cha uchaguzi Mwaka 2024/2025 ni mahala pazuri pa kushirikiana katika kufanya kazi ya kuhakikisha Mkoa na nchi inakuwa na amani kwa kuweka mikakati endelevu ya pamoja ya kulinda amani ya nchi kwa kuzingatia haki za wananchi pamoja na kutowavumilia watu wanaopanga au wanaofanya uharifu.

Mwisho Mhe Mkuu wa Mkoa amesema anafurahishwa na kazi nzuri inayofanywa na Jeshi hilo Katika Mkoa wa Dar es Salaam, anajivuni kuwa na Jeshi hilo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa