• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dar es Salaam Kuzindua Soko la Madini na Vito Kesho Jumatano Julai 17

Posted on: July 16th, 2019


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

DAR ES SALAAM KUZINDUA SOKO LA MADINI NA VITO KESHO JUMATANO JULAI 17. 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawaalika Wadau Wote wa Madini na Wananchi kwenye Uzinduzi wa Soko la Madini na Vito unaotarajiwa kufanyika kesho Jumatano ya Julai 17 kwenye Jengo la NHC jirani na Makao Makuu ya TTCL.

Uzinduzi wa Soko la madini na vito ni hatua ya utekelezaji wa Agizo alilotoa Rais Dkt. John Magufuli kwa kila mkoa kuhakikisha unakuwa na sehemu maalumu ya Soko la Madini na Vito.

Uzinduzi wa Soko hilo utahudhuriwa na Viongozi mbalimbali wakiwemo Waziri wa Madini, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, makatibu wakuu, wakuu wa wilaya, makatibu tawala na watendaji wengine.

DAR ES SALAAM TUNATEKELEZA KWA VITENDO.

Imetolewa na:-

Kitengo cha Habari na Uhusiano

OFISI YA MKUU WA MKOA

 DAR ES SALAAM

Matangazo

  • RATIBA YA KAZI YA MHE. RC MAKALLA KUANZIA 20 - 26 APRIL,2022 April 20, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Utamilifu (Mock) Mkoa wa Darasa la Saba - 2021 July 30, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA BEI ELEKEZI YA MBOLEA March 30, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS Rugwa Apokea Mwenge wa Uhuru Kutoka Mkoa wa Pwani

    May 10, 2022
  • RC Makalla Mgogoro wa Ardhi Mbondole Chanika Busara Zinahitajika

    May 06, 2022
  • RC Makalla "Hakuna Panya Road Atakaesalimika DSM"

    May 02, 2022
  • RC Makalla Awataka Waajiri Kuwasilisha Michango ya Wafanyakazi kwa Wakati

    May 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Maelekezo ya RC Makalla juu ya Mapambano dhidi ya majanga ya moto katika masoko DSM.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa