• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Ugawaji wa Apron

Posted on: June 7th, 2017

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na WHO imegawa  jumla ya  Apron 257 zenye thamani ya Tshs 2,929,800/= kwa Mama lishe na Baba lishe wa Soko la Buguruni – Ilala na Sterlio – Temeke leo asubuhi kufuatia  juhudi mbalimbali ambazo zimekuwa zikifanywa na Serikali ya Mkoa katika kupambana na ugonjwa hatari wa kipindupindu.

Zoezi hilo la ugawaji wa Apron lilipokelewa vema katika Masoko yote kwa wahusika kujitokeza kwa wingi ili waweze  kupokea Apron zao kwa ajili ya kudumisha usafi katika maeneo yao ya kazi.

Awali Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Dennis Kamzolah aliwaambia Mama lishe na Baba lishe wa Soko la Buguruni kuwa maeneo yao yanapaswa kuwa masafi kwani kinyume chake ugonjwa hatari wa kipindupindu utatokea na ukitokea utasababisha vifo vya watu sambamba na kufunga biashara hivyo itakuwa hasara pia kwa upande wao.Aliwataka kuweka chakula chao katika mazingira safi na salama. Aidha, kuwawekea misingi ya usafi wateja wao pindi wanapokuja kwa kunawa katika maji ya moto na sabuni, kuwa na kapeti la kuwekea vyombo, Dustibins n.k.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Buguruni Bw. Adam Fugame aliishukuru Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na WHO kwa kugawa Apron hizo kwa Mama lishe na Baba Lishe wa soko lake na kuwataka kina Mama lishe na Baba lishe kuzingatia yote wanayopaswa kuyazingatia ili kuepukana na magonjwa yanayoweza kujitokeza kutokana na uchafu.

Katika Soko la Sterlio – Temeke Kaimu Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bi. Rehema S. Ally aliwaeleza Mama lishe na Baba lishe waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya kupewa Apron kuwa katika utekelezaji wa majukumu yao msingi mkubwa ni Usafi kwani bila kuzingatia hilo itapelekea kutokea kwa magonjwa mbalimbali katika biashara zao. Hivyo aliwataka kuzingatia kanuni zote za Afya.

Akitoa shukrani kwa Serikali ya Mkoa na WHO Baba lishe Bw. Mussa D. Jumbe amesema wamepokea Apron kwa furaha na wanaamini itakuwa ni chachu kwao kwa ajili ya kuwahamasisha wazidi kuzingatia suala la usafi.


Matangazo

  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa kuanzia tarehe 29 - 02/2018 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutatolewa msaada wa kisheria kwa wote waliodhulumiwa mali zao. January 22, 2018
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali December 08, 2017
  • Matibabu na Vipimo Bure kwa Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuanzia tarehe 19- 25/11/2017 November 15, 2017
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makonda azindua Zoezi la Utoaji Chanjo ya Kuzuia Saratani ya Mlango wa Kizazi Dar

    April 23, 2018
  • Wanaume Waliokaidi Wito wa RC Makonda Kukamatwa Jumatatu

    April 20, 2018
  • Hospitali ya Mama na Mtoto Chanika iliyojengwa kwa jitihada za RC Makonda yazinduliwa Rasmi

    April 19, 2018
  • RC Makonda kutoa kadi za Bima ya Afya kwa watoto waliotelekezwa

    April 11, 2018
  • Tazama zote

Video

Dar es Salaam Auto Mobile Zone
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa