JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
 
     

KILIMO

 
Kilimo [ Mifugo ] [ Nyumbani ]
 
 
 
Utangulizi
 

Kilimo ni Sekta muhimu kwa maisha na uchumi wa wakazi wa Mjini na pembezoni mwa Mji.

 
 
Eneo linalofaa kwa kilimo na ufugaji ni hekta 107,500, ambapo Manispaa ya Temeke ni hekta 55,000, Kinondoni hekta 37,000 na Ilala hekta 15,000. Hadi sasa eneo linalotumika kwa kilimo ni Ha.32,972 sawa na asilimia 31 ya eneo lote. Hali hii inatokana na maeneo ya mashamba kutwaliwa kwa ajili ya kupimwa viwanja vya makazi na wawekezaji.
 
 

Mazao makuu yanayolimwa ni mihogo, viazi vitamu, mpunga, mahindi, migomba na kunde. Mazao ya biashara ni korosho, minazi, mboga, matunda, maua na viungo. Mkoa utoa kipaumbele katika kilimo cha mboga matunda na viungo (high value crops) ambayo yana soko la uhakika hapa Jijini.

 
 

Kilimo cha Mjini (Mboga na matunda) huchangia lishe bora, mapato na uboreshaji mazingira Jijini.

 
 
 
Kilimo cha Mbogamboga

Kilimo cha Mbogamboga

 
 
Kilimo cha Maua
Kilimo cha maua
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 

 

 
 
 
 
     
     
 
Kilimo [ Mifugo ] [ Nyumbani ]   Rudi juu
 
     
Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, TEL: 022 - 2203156/2203158, FAX: 022-2203213