Kikao cha Wadau wa Elimu wa Mkoa wa Dar es Salaam chini ya uenyekiti wa Mkuu wa Mkoa Mhe. Saidi Meck Sadiki wamekutana tarehe 13/03/2013.
Mada mbalimbali pamoja changamoto ziliwasilishwa na kujadiliwa ili kuweka mikakati ya pamoja katika kuboresha elimu katika Mkoa .