• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya Sherehe za Uhuru

Sunday 17th, February 2019
@Uwanja wa Jamhuri - Dodoma

YALIYOJIRI LEO NOVEMBA 24, 2017 KATIKA MAHOJIANO MAALUMU NA WAZIRI WA NCHI - OFISI YA WAZIRI MKUU, JENISTA MHAGAMA KUHUSU MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA UHURU.

#Nchi yetu itaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara mnamo Disemba 9 mwaka huu - Waziri Jenista Mhagama.

#Maadhimisho hayo kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma -Waziri Jenista Mhagama.

#Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli - Waziri Jenista Mhagama.

#Shughuli zinazotarajiwa kufanyika siku hiyo ni maonesho ya gwaride la heshima lililoandaliwa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama nchini - Waziri Jenista Mhagama.

#Shughuli zingine ni onesho la Kikosi cha makomando na kwata ya kimyakimya kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania - Waziri Jenista Mhagama.

#Kutakuwa na onesho la Gwaride la Mkoloni kutoka Jeshi la Polisi pamoja na Gwaride la wanafunzi wa shule  za Sekondari Dodoma - Waziri Jenista Mhagama.

#Itakuwa ni mara ya kwanza Onesho la Gwaride la Mkoloni kufanyika Tanzania Bara - Waziri Jenista Mhagama.

#Vile vile kutakuwa na burudani za vikundi vya ngoma za asili kutoka Ruvuma, Kigoma na Zanzibar pamoja na vikundi vya kwaya kutoka Chunya, Mbeya - Waziri Jenista Mhagama.

#Pia kutakuwa na burudani ya muziki wa kizazi kipya ikiwemo kikundi cha Tanzania All Stars - Waziri Jenista Mhagama.

#Kauli mbiu ys sherehe hizi ni "UHURU WETU NI TUNU: TUUDUMISHE, TULINDE RASILIMALI ZETU, TUWE WAZALENDO,TUKEMEE RUSHWA NA UZEMBE". - Waziri Jenista Mhagama.

#Natoa wito kwa wananchi wote kusheherekea siku hii kwa kudumisha amani, upendo,umoja na mshikamano kwa maendeleo ya nchi yetu - Waziri Jenista Mhagama.

#Maadhimisho hayo yataanza saa 12:00 asubuhi hivyo nachukua nafasi hii kuwakaribisha wananchi wa Dodoma na mikoa ya karibu kujitokeza kwa wingi kusherehekea kwa pamoja kumbukumbu ya uhuru wa nchi yetu - Waziri Jenista Mhagama.

IMEANDALIWA NA IDARA YA HABARI - MAELEZO.

Matangazo

  • Miradi 15 ya Kimkakati Awamu ya Pili Kutekelezwa February 06, 2019
  • Mkutano wa Mkuu wa Mkoa na Watendaji wa Mkoa wa Dar es Salaam 29/01/2019 January 28, 2019
  • Kuona Matokeo ya Kidato cha Nne 2018 bofya hapa January 24, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makonda Awaagiza Wakuu wa Wilaya Kuhakikisha Ugawaji wa Vitambulisho Unamalizika Kabla ya Mwezi Machi

    January 29, 2019
  • RC Makonda Kumuenzi Askofu Pengo kwa Kuipa Barabara Jina lake

    January 26, 2019
  • RC Makonda Awahimiza Wananchi Kujipatia Bima ya Afya Ili Kujihakikishia Maisha Bora

    January 10, 2019
  • RC Makonda Awahakikishia Wanafunzi Waliofaulu katika Mkoa wa Dar es Salaam Kuendelea na Masomo Yao

    January 08, 2019
  • Tazama zote

Video

RC Makonda akiwasilisha utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa